Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Thursday, October 30, 2014

NAIBU WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO, MHE.DKT. PINDI CHANA(MB.) ATEMBELEA CHUO CHA MAENDELEO YA WANANCHI ARNAUTOGLU, DAR ES SALAAM.



NaibuWaziriwaMaendeleoyaJamii, JinsianaWatoto, Mhe. Dkt. PindiChana(Mb.),  amefanyaziarakatikaChuo cha  Maendeleo yaWananchiArnautoglu – Ilala, Dar es salaam, kwalengo la kukaguamaendeleoyautoajiwamafunzokwawananchi.
Chuo cha  MaendeleoyaWananchiArnautogluhutoamafunzoyamuda mrefu, muda mfupi na mafunzo nje ya chuo, ambayo yote yamelenga katika kutoa stadi na maarifa mbalimbali yanayowawezesha washiriki kupata ujuzi ili waweze kujiajiri wenyewe au kuajiriwa katika Taasisi mbalimbali kwa lengo la kuzalisha mali na hivyo kujiongezea kipato na kupunguza umaskini.
Kwaupandewamafunzo ya muda mrefu asilimia kubwa ya Wanafunzi wanaojiunga na Chuo hiki ni watu wenye ulemavu, wengi wao wakiwa na ulemavu wa akili.

NaibuWaziriwaMaendeleoyaJamii, JinsianaWatoto, Mhe. Dkt. PindiChana(Mb.)akiwakatikapichayapamojanawatumishinauongoziwawanafunziwa Chuo chaMaendeleoyaWananchiArnautoglu, Ilala – Dar es salaam, wakatialipofanyaziaraChuonihapoleoOktoba 28, 2014.
NaibuWaziriwaMaendeleoyaJamii, JinsianaWatoto, Mhe. Dkt. PindiChana(Mb.)akiongeanawatumishiwaChuo chaMaendeleoyaWananchiArnautoglu ( hawapopichani), wakatialipofanyaziaraChuonihapo, leoOktoba 28, 2014.KushotoniBwana Stephen Saro, AfisaElimuMkuukutokaWizarayaMaendeleoyaJamii, JinsianaWatotonaKulianiMkuuwa Chuo cha MaendeleoyaWananchiArnautoglu, BibiPulcheriaNdamugoba.

NaibuWaziriwaMaendeleoyaJamii, JinsianaWatoto, Mhe. Dkt. PindiChana(Mb.)akikaguamazingirayautoajiwamafunzokatikamadarasayaChuo cha MaendeleoyaWananchiArnautoglu, ikiwanipamojanakuhojiananawashirikiwamafunzo (hawapopichani), wakatialipofanyaziarakatika Chuo cha MaendeleoyaWananchiArnautoglu - Ilala, Dar es salaam, leoOktoba 28, 2014.KulianiBwana Stephen Saro, AfisaElimuMkuukutokaWizarayaMaendeleoyaJamii, JinsianaWatotonaKushotoniMkuuwa Chuo cha MaendeleoyaWananchiArnautoglu, BibiPulcheriaNdamugoba.

NaibuWaziriwaMaendeleoyaJamii, JinsianaWatoto, Mhe. Dkt. PindiChana(Mb.)akiangaliamafunzokwavitendoyaliyokuwayakitolewakwawashirikiwadarasala Uashi, katikaChuo cha MaendeleoyaWananchiArnautoglu- Ilala, Dar es salaam, leoOktoba 28, 2014.


Mkuuwa Chuo cha MaendeleoyaWananchiArnautoglu, BibiPulcheriaNdamugobaakitoaufafanuzikuhusueneo la chuokwaNaibuWaziriwaMaendeleoyaJamii, JinsianaWatoto, Mhe. Dkt. PindiChana(Mb.)wakatialipofanyaziara katikaChuo cha MaendeleoyaWananchiArnautoglu- Ilala, Dar es salaam, leoOktoba 28, 2014.


NaibuWaziriwaMaendeleoyaJamii, JinsianaWatoto, Mhe. Dkt. PindiChana(Mb.)akisisitizajambo, wakatiwaalipokuwaakikaguamaeneoyaChuo cha MaendeleoyaWananchiArnautoglu- Ilala, Dar es salaam, leoOktoba 28, 2014.

No comments:

Post a Comment