Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Thursday, February 15, 2018

KIKUNDI WAPENDANAO KIMEKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 12 ZA KUCHANGISHANA WENYEWE LUPEMBE

 MC AKITANGAZA  UTARATIBU  WAKATI  WA  WAGENI  KUWASILI  LUPEMBE
 MBUNGE WA LUPEMBE  AKIWA  MGENI RASMI  KWENYE KIKUNDI  CHA  WAPENDANAO  KATIKA  SIKU YA SHEREHE  YA  WAPENDANAO LUPEMBE

 MGENI RASMI  ANAKABIDHI  CHEKI  ZA  WANAKIKUNDI  
 ZAWADI  ZINAPELEKWA  KWA  WANAKIKUNDI  ZA  KUTOKA  VIKUNDI  JIRANI



 Katika  Vikundi  Mbalimbali  Vya  Kuweka  Na  Kukopa  Kwaajili  Ya  Kuinuana  Kiuchumi  Na  Kuboresha  Mfumo  Wa  Rishe  Na  Makazi  Kwa  Kujenga  Nyumba  Zenye  Hadhi  Zitakazojengwa  Kwa  Bati.

Akizungumza  Na  Wanakikundi  Cha  Wapendanao  Kilichopo  Lupembe   Barazani  Mbunge  Wa Jimbo  La  Lupembe  Joram Hongoli  Amesema  Wananchi  Lazima  Washiriki  Kufanya  Kazi  Na  Kuwahimiza  Vijana  Wa  Kiume  Kushirika  Katika  Kufanya  Kazi  Kwenye  Maeneo  Yao.

Bwana  Hongoli  Amezungumzia  Pia  Umuhimu  Wa  Utoaji  Rishe  Bora  Kwa  Watoto  Kwaajili  Ya  Kukabiliana  Na  Tatizo  La  Udumavu  Na  Utapiamlo  Kwamba  Kila  Mzazi  Anapaswa Kuzingatia  Kutoa  Rishe  Bora  Kwa  Watoto  Wao  Kwa  Kuchanganya  Vyakula  Isiwe  Vya Wanga  Pekee.

Mwenyekiti Wa  Kikundi  Cha  Wapendanao  Cha  Silc Lupembe  Bi.Rehema  Malekela  Amesema  Kikundi  Hicho  Chenye   Washiriki  28 Kimefanikiwa   Kukusanya  Zaidi  Ya  Shilingi  Milioni Kumi  Kwa  Mwaka  Huku  Risala  Yao Iliyosomwa  Na  Brtazary Mveyange  Ikitaja  Changamoto Za Kukosa  Viti.

  Baadhi  Ya  Wanakikundi   Wameshukuru  Kwa  Hamasa  Iliyotolewa  Na  Afisa  Maendeleo  Ya  Jamii  Kata  Kwani  Vikundi  Vingi  Vya  Akina  Mama  Vinaendesha  Shughuli  Zao  Za Ujasiliamali  Na  Kuomba  Serikali  Kuwafikilia  Kuwapatia  Mikopo  Pasipo  Ubaguzi  Wowote.


No comments:

Post a Comment