Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Saturday, June 4, 2016

ASAS AWA MSHINDI WA KWANZA KWA WASINDIKAJI WAKUBWA WA MAZIWA TANZANIA MAADHIMISHO YA MAZIWA NJOMBE

 
 

AFISA MASOKO WA KAMPUNI YA ASASI  LIPITA MTIMILA BAADA YA KUPOKEA NGAO YA USHINDI WA USINDIKAJI MAZIWA



                    
 WADAU WA ASASI WAKIWA NA AFISA MASOKO WA KAMPUNI YA ASAS KWENYE MAADHIMISHO YA UHAMASISHAJI UNYWAJI MAZIWA ILIYOFANYIKIA NJOMBE KITAIFA

MGENI RASMI MARY MASHINGO AKIWA NA KAIMU MKUU WA MKOA WA NJOMBE ANATORY CHOYA AMBAYE NI MKUU WA WILAYA YA LUDEWA





WANAFUNZI MBALIMBALI WAKIWA KWENYE MAANDAMANO KUELEKEA UWANJA WA MAONESHO WA MPECHI







MGENI RASMI HAPA ANATOA HOTUBA YAKE KWA WAKAZI WA NJOMBE NA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI


WEMA NGIMBUDZI AMBAYE AMEPATA NG'OMBE WA MAZIWA  SIKU HIYO YA MAADHIMISHO YA UHAMASISHAJI UNYWAJI MAZIWA KITAIFA YALIYOFANYIKIA NJOMBE


WANANFUNZI MBALIMBALI WAKIELEKEA KUPELWA MAZIWA NA MGENI RASMI



HAPA WADAU MBALIMBALI WANAPEWA VYETI  VYA WASHINDI MBALIMBALI


LIPITA MTIMILA  WA ASAS  AKIPOKEA CHETI CHA USHIRIKI KWA MGENI RASMI




TANGA FRESH NAO WAMEPOKEA CHETI CHA USHIRIKI
NJOMBE MILK FACTORY MUWAKILISHI WAO ANAPOKEA CHETI KWA MGENI RASMI




MSHINDI WA KWANZA KWA WASINDIKAJI WAKUBWA WA MAZIWA ASAS AKIWAKILISHWA NA AFISA MASOKO WAO  LIPITA MTIMILA ANAPOKEA NGAO YA USHINDI





Serikali Imejikita Kuboresha Huduma Ya Uhimilishaji  Na Tayari Ina Vituo  Vya Kutosha Kwa Sasa Ambavyo  Vinaweza Kusambaza Mbegu  Na Kimiminika Kwaajili Ya  Kuhifadhia  Mbegu  Hizo   Ili Kuongeza Idadi Ya Mifugo Huku Ikiwahamasisha Wananchi Kujiunga Kwenye Vikundi  Katika Ushirika   Kwaajili Ya Kuwasaidia Na Kuwawezesha Kisheria  Kupatiwa Mitaji Ya Kuwezesha Kwenye Tasnia Ya Maziwa.

Kauli Hiyo Imetolewa Na Katibu Mkuu   Wizara Ya Mifugo , Kilimo Na Uvuvi Dakt  Mary Mashingo  Wakati Akiwa  Mgeni Rasmi Kwenye Kilele Cha Maadhimisho Ya Uhamasishaji Wa Unywaji Maziwa  Ambayo Yamefanyikia Mkoa Wa  Njombe Kitaifa  Yenye Ujumbe Usemao Jenga Tabia Ya Kunywa Mziwa Kwa Afya Na Uchumi.

Aidha Dkt Mashingo  Amsema Endapo Wafugaji Watajiunga Kwenye Vikundi Wataweza Kutatua Matatizo Yatakayojitokeza   Na Kusema Kuwa Tatizo Kubwa Linalowakabili Wakulima Na Wafugaji Ni Kukosekana Kwa Mitaji Ambapo Serikali Inahamasisha Taasisi Za Kifedha Kusaidia Kutoa Mikopo Ili Wafugaji Hao Wapate Mitaji Ya Kuwekeza Kwenye Sekta Ya Maziwa Huku Serikali Ikipigania Kufufua Viwanda Ambavyo Vilikuwa Havifanyi Kazi.

Akisoma Taarifa Fupi Mbele Ya Mgeni Rasmi Mwenyekiti Wa Baraza La Maziwa Nchini  Ally Magani Amesema  Maadhimisho Hayo  Hufanyika Kila Mwaka  Hapa Nchini  Yakiwa Na Lengo La Kuhamasisha Wananchi Kunywa Maziwa Salaama Kwaajili Ya Afya Na Uchumi  Pamoja Na Ufugaji Wa Ng'ombe Wa Maziwa Zaidi.

Katika Kuadhimisha  Maadhimisho  Ya Uhamasishaji Wa Unywaji Maziwa  Kitaifa Yamefanyika Mkoa Wa Njombe Huku Mgeni Rasmi Huyo Akikabidhi Zawadi  Kwa Washindi  Na Washiriki Mbalimbali  Wa Sherehe Hizo   Akiwemo Mlemavu Wa Macho  Wema Ngimbudzi Ambaye  Amepewa Ng'ombe Mmoja Wa Maziwa Na  Kampuni Ya Asas Iliyopewa Ngao Ya Ushindi Wa Uzarishaji Wa Maziwa .




No comments:

Post a Comment