Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa akifungua
mkutano wa Uwezeshaji viwanda baina ya China na nchi za Afrika
uliofanyika jijini Dar es Salaam leo (jana), wa pili kutoka kulia ni
Balozi wa China nchini Dr.Lu Youqing.






Picha na Benjamini Sawe-Maelezo.
No comments:
Post a Comment