Waziri
wa Habari utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza
katika hafla ya ufunguzi wa mashindano ya kuogelea ya vijana chini ya
umri wa miaka 13 yanayoandaliwa na Dar es Salaam Swimming Club
yanayofanyika katika bwawa la shule ya Kimataifa Jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya washiriki wa mashindano ya kuogelea ya Vijana chini ya umri wa miaka
13 wakijaaandaa kuruka ndani ya bwawa la kuogelea kuanza kushindana
katika mashindano hayo yaliyoandaliwa na Dar es Salaam Sewimming Club.
Baadhi
ya washiriki wa mashindano ya kuogelea ya Vijana chini ya umri wa miaka
13 wakijaaandaa kuruka ndani ya bwawa la kuogelea kuanza kushindana
katika mashindano hayo yaliyoandaliwa na Dar es Salaam Sewimming Club.
Baadhi ya washiriki wakifuatilia mashindano hayo ya Vijana ya kuogelea yaliyoandaliwa na Dar es Salaam Swimming Club.
Waziri
wa Habari utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye
akiwavalisha medani baadhi ya washindi wa kuogelea mara baada ya
kumalizika kwa mashindano hayo yanayoandaliwa na Dar es Salaam Swimming
Club yanayofanyika Jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WHUSM.
No comments:
Post a Comment