Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Saturday, December 10, 2016

Waziri Nape azindua mashindano ya kuogelea ya vijana chini ya umri wa miaka 13 jijini Dar es Salaam

 Waziri wa Habari utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa mashindano ya kuogelea ya vijana chini ya umri wa miaka 13 yanayoandaliwa na Dar es Salaam Swimming Club yanayofanyika katika bwawa la shule ya Kimataifa Jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya washiriki wa mashindano ya kuogelea ya Vijana chini ya umri wa miaka 13 wakijaaandaa kuruka ndani ya bwawa la kuogelea kuanza kushindana katika mashindano hayo yaliyoandaliwa na Dar es Salaam Sewimming Club.
 Baadhi ya washiriki wa mashindano ya kuogelea ya Vijana chini ya umri wa miaka 13 wakijaaandaa kuruka ndani ya bwawa la kuogelea kuanza kushindana katika mashindano hayo yaliyoandaliwa na Dar es Salaam Sewimming Club.
 Baadhi ya washiriki wakifuatilia mashindano hayo ya Vijana ya kuogelea yaliyoandaliwa na Dar es Salaam Swimming Club. 
Waziri wa Habari utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akiwavalisha medani baadhi ya washindi wa kuogelea mara baada ya kumalizika kwa mashindano hayo yanayoandaliwa na Dar es Salaam Swimming Club yanayofanyika Jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini WHUSM.

No comments:

Post a Comment