Katibu
mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole
Gabriel(mwenye miwani) akiwa amebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa
Katibu mkuu wa zamani Wizara ya Habari Marehemu Frank P. Mwanjisi
aliyefariki jijini Dar es Salaam.Marehemu amesafirishwa leo kwenda mbeya
kwa ajili ya mazishi.
Mchungaji
kutoka kanisa la KKKT usharika wa kariakoo akiendesha misa ya kumuombea
marehemu Frank Mwanjisi ambaye aliwahi kushika wadhifa wa katibu mkuu
katika wizara ya Habari. Picha na Daudi Manongi-WHUSM.
Katibu
mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole
Gabriel akimpa pole Elifasi Mwanjisi ambaye ni mdogo wa marehemu Frank
Mwanjisi aliyekuwa katibu mkuu wa zamani Wizara ya Habari leo jijini Dar
es Salaam.
Katibu
mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Prof Elisante Ole
Gabriel akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa katibu mkuu wa zamani wa
wizara ya Habari Marehemu Frank Mwanjisi aliyefariki jijini Dar es
Salaam.
Mtoto
wa marehemu ,Bw Charles Mwanjisi(mwenye t-shirt nyeusi) akizungumza
jambo na mkurugenzi msaidizi-MAELEZO Bw.Raphael Hokororo wakati wa misa.
No comments:
Post a Comment