Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Monday, March 21, 2016

KAMATI YA BUNGE YA TAMISEMI, UTUMISHI UTAWALA BORA WAWATEMBELEA WANUFAIKA WA MPANGO WA TASAF AWAMU YA TATU KIGOMA MANISPAA.

 Waziri ofisi ya Rais Tamisemi utumishi na utawala bora akikagua sahihi za wanufaika wa TASAF awamu ya tatu kwa Manispaa ya Kigoma ujiji katika mtaa wa kibwe kata ya Kagera.Na Editha Karlo wa blog ya jamii, Kigoma.
 Mkurugenzi mkuu wa TASAF Laslaudi Mwamanga akiongea na wanufaika wa TASAF awamu ya pili katika mtaa wa kibwe Manispaa ya Kigoma ujiji baada ya kutembelewa na kamati ya bunge ya tamisemu utumishi na utawaka bora.
Baadhi ya wanufaika wa TASAF awamu ya wa mtaa Kibwe Kata ya Kagera Manisoaa ya Kugoma wakimsikiliza waziri ofisi ya Rais Tamisemi, utumishi na utawala bora aliyeambatana na wajumbe wa   kamati ta bunge(amvao hawapi pichani) kujionea jinsi wanavyopokea ruzuku za TASAF awamu ya nne.
Waziri Kairuki akikagua makaratasi ya walengwa wanaitakiwa kupatiwa ruzuku ya TASAF kama kaya maskini.
 Mkurugenzi mkuu wa TASAF (mwenye miwani) akimueleza jambo Waziri Kairuki.
 Waziri ofisi ya Rais Tamisemi, utumishi na utawala bora Angela Kairuki akielekezana jambo na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge Jason Lweikiza wakati akikagua saini za walengwa wa tasaf awamu ya tatu.

No comments:

Post a Comment