Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea zawadi ya mipira kutoka kwa watanzania waishio Reading nchini Uingereza kabla ya kuzungumza nao jana kushoto ni Mwenyekiti wa Umoja wa Watanzania waishio Reading, Hussein Chang'a.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (kulia) wakisalimiana na baadhi ya watoto na wazazi waliohudhuria mkutano kati yake na watanzania waishio Reading Uingereza jana Julai 10, 2014
No comments:
Post a Comment