.Hapa ni Mjini Makambako Katika Tamasha la Umoja Kwanza Ukimwi Ziro Lililofanyika Julai 5 Mwaka Huu.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgiGjpWpRzZnsnVOvVsnKdPkh7ZmsHZiDEdJYXsVWoMl9Vl81vx6RwSb_FjuL7rjvgVzJYgOYjU2UqoTYGVyzD0PHE-JSld4-s1wfO4_qdSTGpkfynLkFnZrO86PnKLsSKwCCHKSU-phzj9/s1600/DSC09019.JPG)
Cogo lee Team Wakifanya yao On Stage Makambako LiveSniger akitupia mistari yake na Ngoma kali ya Serebuu
Uplands Fm Staff Live Mjini Makambako Njombe tz
Wagumu wa HIP HOP Toka Makambako Wakikamua Bila Kutumia hirizi Stejini Live
Mwaka ze Boy mkali wa Extra Flavour Toka Uplands Fm Kulia Akiwa na Dada Yake
Sunday Bavuga Kny. Meneja Uplands Radio na Mhariri Mkuu
Uplands fm Lady team
PSI Mpango mzima
Steven Ngole[Steve the Boss]
Msanii Kapesa Anayetamba na Kibao Chake cha Ugumu wa Maisha Akiwasili Mjini Makambako
Msanii Tiery Passion Toka Njombe Tz
Na Gabriel Kilamlya Njombe
Baada ya Kufanikisha Tamasha Kubwa Mjini Igwachanya Wilaya ya Wanging'ombe Juni 21 Mwaka huu Uplands Fm radio Imetia Maguu Kwenye Mji wa Kibiashara Mjini Makambako julai 5 Mwaka Huu na Kufanya Tamasha Kubwa la Aina Yake Lililojaza Mashabiki Kibao KAtika Uwanja wa Polisi Makambako Njombe.
Kufanyika Kwa Tamasha Hilo Mjini Makambako ni Muendelezo wa Matamasha Yaliyofanyika Wilayani Ludewa,Makete na Wanging'ombe Huko Igwachanya Katika hAraKaTi za Kupambana na Maambukizi Mapya ya Virusi Vya Ukimwi Katika Kuunga Mkono Juhudi za Serikali Kukabiliana na Ugonjwa Huo Ambao Umeonekana Kushika Kasi Katika Mkoa wa Njombe Kwa Asilimia 14.8 na Kuongoza Kitaifa Kati ya Mikoa yote Tanzania.
Kituo Cha Radio Uplands Fm toka Njombe Kimeamua Kuja Kwa Mtindo wa Kufanya Matamasha katika Wilaya zote za Mkoa wa Njombe Kwa Kushirikiana na Wadau Mbalimbali Wakiwemo PSI-Kupitia Salama Kondom,Benki ya Wananchi Njombe NJOCOBA pAMOJA NA wadau Mbalimbali Kwa Kaulimbiu ya UMOJA KWANZA UKIMWI ZIRO 2014.
Baada ya Kufanikisha Tamasha Hilo Mjini Makambako Tamasha La Mwisho Litafanyika Mjini Njombe Kwa Kuhitimisha Safari Hiyo Ndefu Iliyoanzia Wilayani Ludewa.
Pamoja na Jitihada Hizo Lakini Pia Lengo la Tamasha Hilo ni Pamoja na Kukuza Sanaa Kwa Wasanii Mkoani Njombe Kwa Kuzunguka Nao Katika Matamasha Hayo.
ENDELEA KUFUATILIA MFULULIZO WA PICHA NA MATUKIO MBALIMBALI HAPO CHINI toka Kwa Wasanii Wakali wa Mkoa wa Njombe Kwa Makambako na Njombe Waliofanya Vyema Katika Tamasha Hilo.....
............
Ramadhani Kokoto Toka Uplands Fm
Msanii Sniger Akishuka Kwenye Basi Tayari Kwa Kulivaa TAmasha La Umoja Kwanza Makambako
Msanii wa Muziki na Maigizo na Mbunifu wa Mitindo Anajiita Cogo Lee Toka Njombe Kibena Tz
Dj Duke[Geofrey Liduke] Kulia Waridi Maseko na Zenobia Mtei Uplands Fm Team
Safari ni Safari Tuuuuuuuu
Mzee wa Makablashaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa....Geble Gabriel Elias Kilamlya.. Mmiliki wa Mtandao Huu.
Kulia ni Dj Jose Toka Ice Fm Radio Makambako na Dj P'nyeeee[phly]Toka Uplands Fm Radio Njombe
PSI Ndio mpango Mzima Katika Matamasha ya Umoja Kwanza
Steve the Boss Akifanya Yake on Stage
Wasanii toka Njombe Wakiimba Wimbo wa Umoja Kwanza Mjini Makambako Live
Msanii Don maswager-chinja-chinja boy akitupia swager zake on stage
Maofisa wa Benki ya Wananchi Njombe NJOCOBA Tawi la Makambako Wakiielezea Benki Hiyo Kwenye Tamasha la Umoja Kwanza la Radio Uplands Fm Ambao ni Moja ya Wadhamini wa Tamasha Hilo.
No comments:
Post a Comment