Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Thursday, January 5, 2017

WAZIRI MKUU AWATAKA WANANCHI WA HALIMASHAURI YA MADABA WILAYA YA SONGEA KULINDA VYANZO VYA MAJI

  Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipata maelezo ya mradi wa maji  kutoka kwa mkurugenzi wa Halimashauri ya  Madaba Bwana Safi Mpenda Waziri Mkuu ameuzindua mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi wilaya ya Songea,  Mradi ambao una uwezo wa kutoa lita 200000 (laki mbili) na kuhudumia zaidi ya watu 5000 (Elfu tano) katika Halmashauri ya madaba, Songea
 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimtwisha ndoo ya maji Bibi Leonara Kibuno ikiwa ni ishara ya uzinduzi  wa mradi huo ambao umejengwa katika kijiji cha Magingi wilaya ya Songea,Mradi ambao una uwezo wa kutoa lita 200000 (laki mbili) na kuhudumia zaidi ya watu 5000 (Elfu tano) katika Halmashauri ya madaba, Songea
Waziri mkuu Kassim Majaliwa akiwa hutubia wananchi wa halimashauri ya Madaba.Picha na Chris Mfinanga

No comments:

Post a Comment