Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Thursday, December 29, 2016

MMOJA AKAMATWA KWA WIZI WA BAISKELI MTWANGO

 MWENYEKITI WA SERIKALI YA KIJIJI CHA LUNGUYA MTWANGO AKIZUNGUMZA MARA BAADA YA KUMUOKOA KIJANA ALIYEIBA BAISKELI  NA KUKAMATWA NA WANANCHI AMBAO WALIANZA KUMSHAMBULIA KWA MAWE NA VIRUNGU KABLA MWENYEKITI HUYO HAJAFIKA.




BAISKELI ILIYOIBIWA NDIO HII IKIWA KWENYE OFISI YA SERIKALI YA KIJIJI HICHO WAKATI MTUHUMIWA AKIPELEKWA KITUO CHA POLISI MAKAMBAKO.

No comments:

Post a Comment