Waziri wa Afya Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na viongozi wa
Jimbo la Kiembe Samaki jana julai 7 kabla ya kuwapa pesa kwaajili ya
skukuu hafla hiyo imefanjika katika tawi la CCM Kiembe samaki Mjini
Zanzibar.
Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akimkabidhi fedha katibu wa wadi ya Kiembe samaki Bi. Zainab Ali Suleiman.
No comments:
Post a Comment