Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)
Hamza Johari( katikati )akiongea na Wahariri wa vyombo vya habari
mbalilmbali hapa nchini kuhusiana na shughuli mbalimbali zinazofanywa na
mamlaka hiyo kuelekea katika mipango yake ya mwaka wa fedha
2016/17.Pamoja na kufahamiana na wahariri hao. Mkutano huo uliofanyika
leo makao makuu ya TCAA Banana Ukonga jijini Dar es Salaam.Kulia ni
Mkurugenzi wa huduma za mamlaka ya TCAA Mbutolwe Kabeta
Wahariri wa vyombo vya habari mbalilmbali hapa nchini wakimsikilza
kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya usafiri wa ASnga TCAA Hamza
Johari (hayopo pichani) wakati wa mkutano uliohusu shughuli mbalimbali
zinazofanywa na mamlaka hiyo kuelekea katika mipango yake ya mwaka wa
fedha 2016/17.Pamoja na kufahamiana na wahariri hao. Mkutano huo
uliofanyika leo makao makuu ya TCAA Banana Ukonga jijini Dar es Salaam.
Kulia ni Mkurugenzi wa huduma za mamlaka ya TCAA Mbutorwe Kabeta.
No comments:
Post a Comment