Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa (Kulia) Ndg Twalib A. Mbasha akitoa hati ya makabidhiano ya Wilaya kwa Mkurugenzi wa sasa wa Halmashauri hiyo Ndg Zabron I. Bugingo.
Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa Ndg Zabron I. Bugingo (Kushoto)
akipata Picha ya pamoja na aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya
hio Ndg Twalib A. Mbasha. Katikati ni Mwenyekiti wa Halmashauri Bwana
Abubakar Mussa Mjaka.
Picha
ya pamoja ya aliyekuwa Mkurugenzi na Mkurugenzi wa sasa wa Halmashauri
ya Wilaya ya Kilwa Pamoja nawakuu wa Idara/Wataalamu wa Halmashauri.
Nyuma waliosimama wa katikati ni Mwenyekiti wa Halmashauri mwenye
T-shirt. Picha na Bernad Mpangala.(Mchambuzi wa Mifumo Kilwa (W).
No comments:
Post a Comment