Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Friday, April 1, 2016

JESHI LA POLISI LAONGEZA MIEZI MITATU YA KUHAKIKI SILAHA.

 Kamishina wa Operesheni na Mafunzo wa Makao Mkuu ya Jeshi la Polisi, Nsato Mssanzya akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya Jeshi la  Polisi nchini, linatoa muda wa miezi mitatu kwa ajili ya kukamilisha zoezi la  kuhakiki silaha kwa nchi nzima. Aidha jeshi la polisi linawataka wamiliki wote wa silaha kutumia muda huo kulipia ada ya umiliki wa silaha na kufanya uhakiki wa silaha zao.katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Waandishi wa habari wakimsikiliza Kamishina wa Oparesheni na Mafunzo wa Makao Mkuu ya Jeshi la Polisi, Nsato M.Mssanzya, katika mkutano uliofanyika leo jijini Dar es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya Jamii)

No comments:

Post a Comment