Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akiwapungia mkono wananchi baada ya zoezi la kuapishwa pamoja na kukagua
gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lenye muundo wa ALfa unaoashiria mwanzo
wa Uongozi wake kwa kipindi cha pili katika Uwanja wa Amaan Studium baada ya
kuapishwa rasmi leo
akiwapungia mkono wananchi baada ya zoezi la kuapishwa pamoja na kukagua
gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lenye muundo wa ALfa unaoashiria mwanzo
wa Uongozi wake kwa kipindi cha pili katika Uwanja wa Amaan Studium baada ya
kuapishwa rasmi leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipeana
mkono na Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdani Omar Makame wakati
aliposalimiana na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama baada ya kumalizika
zoezi la kuapishwa katika Uwanja wa Amaan Studium leo,
mkono na Kamishna wa Polisi Zanzibar Hamdani Omar Makame wakati
aliposalimiana na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama baada ya kumalizika
zoezi la kuapishwa katika Uwanja wa Amaan Studium leo,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipeana
mkono na Mkuu wa KMKM Hassan MUssa Komodoo wakati aliposalimiana na Wakuu
wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama baada ya kumalizika zoezi la kuapishwa
katika Uwanja wa Amaan Studium leo
mkono na Mkuu wa KMKM Hassan MUssa Komodoo wakati aliposalimiana na Wakuu
wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama baada ya kumalizika zoezi la kuapishwa
katika Uwanja wa Amaan Studium leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akipeana
mkono na Kaimu Mkuu wa JKU Kanali Ali Mtumweni Hamadi wakati
aliposalimiana na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama baada ya
kumalizika zoezi la kuapishwa katika Uwanja wa Amaan Studium leo,
mkono na Kaimu Mkuu wa JKU Kanali Ali Mtumweni Hamadi wakati
aliposalimiana na Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama baada ya
kumalizika zoezi la kuapishwa katika Uwanja wa Amaan Studium leo,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akifuatana na Makamanda wakati alipokuwa akikagua gwaride la Vikosi vya Brass
Band leo katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,baada ya kuapishwa rasmi
kwa kuongoza Zanzibar katika kipindi cha Pili cha Awamu ya saba,
akifuatana na Makamanda wakati alipokuwa akikagua gwaride la Vikosi vya Brass
Band leo katika uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,baada ya kuapishwa rasmi
kwa kuongoza Zanzibar katika kipindi cha Pili cha Awamu ya saba,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akikagua
gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lenye muundo wa ALfa katika Uwanja wa
Amaan Studium baada ya kuapishwa leo,
gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lenye muundo wa ALfa katika Uwanja wa
Amaan Studium baada ya kuapishwa leo,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein akitia
saini hati ya kiapo mbele ya Jaji Mkuu Mhe,Omar Othman Makungu baadanya
kumalizikika kwa zoezi hilo lililofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium
Mjini Unguja(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,
saini hati ya kiapo mbele ya Jaji Mkuu Mhe,Omar Othman Makungu baadanya
kumalizikika kwa zoezi hilo lililofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium
Mjini Unguja(katikati) Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo
alipokuwa akitoa hutuba yake kwa Wananchi baada ya zoezi la kuapishwa kushika
nafasi hiyo ya Urais kwa kipindi cha pili cha Uongozi katika Uwanja wa Amaan
Studium Mjini Unguja leo,
alipokuwa akitoa hutuba yake kwa Wananchi baada ya zoezi la kuapishwa kushika
nafasi hiyo ya Urais kwa kipindi cha pili cha Uongozi katika Uwanja wa Amaan
Studium Mjini Unguja leo,
Waaandishi wa Habari Wapigapicha wakijaribu kufanikisha kazi yao kupata matukio mbali
mbali wakati wa Sherehe za kumuapisha kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein leo katika Uwanja wa Amaan Studium
Mjini Unguja,
mbali wakati wa Sherehe za kumuapisha kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti
wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi Mohamed Shein leo katika Uwanja wa Amaan Studium
Mjini Unguja,
WanaChama cha Mapinduzi na Wananchi wakiwa pamoja wakisherehekea kuapishwa kwa Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo katika
uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,pia wakiwepo Waandishi wa Habari
kushuhudia mambo mbali mbali yanayoendelea katika zoezi la kuapishwa kwa Rais,
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo katika
uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,pia wakiwepo Waandishi wa Habari
kushuhudia mambo mbali mbali yanayoendelea katika zoezi la kuapishwa kwa Rais,
Viongozi mbali mbali wakisimama wakati wimbo wa Taifa ukipigwa leo katika sherehe za
Kuapishwa kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi
Mohamed Shein Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
Kuapishwa kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.ALi
Mohamed Shein Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
Vijana wa Halaiki na Wananchi mbali mbali wakiwa katika jukwaa la Urusi Uwanja wa
Amaan Studium Mjini Unguja wakati wa Sherehe za Kumuapisha Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein le,
Amaan Studium Mjini Unguja wakati wa Sherehe za Kumuapisha Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein le,
Kikundimcha Taifa cha Culture Muzicul Club kikitumbuiza wakati wa sherehe za
kumuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
kumuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali
Mohamed Shein leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wakisherehekea wakati wimbo wa (Mpewa hapokonyeki)
ulipoimbwa na Kikundi cha Taifa cha Culture Muzicul Club wakati wa
sherehe za kumuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
ulipoimbwa na Kikundi cha Taifa cha Culture Muzicul Club wakati wa
sherehe za kumuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wakisherehekea wakati wimbo wa (Mpewa hapokonyeki)
ulipoimbwa na Kikundi cha Taifa cha Culture Muzicul Club wakati wa
sherehe za kumuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
ulipoimbwa na Kikundi cha Taifa cha Culture Muzicul Club wakati wa
sherehe za kumuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
Mabalozi wa nchi mbali mbali na Viongozi wakiwa katika sherehe za kumuapisha Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo
katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein leo
katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Unguja,
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakisikiliza kwa makini hutuba iliyotolewa
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein leo katika sherehe za kuapishwa kwake katika Uwanja wa Amaan Studium
Mjini Unguja .
na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein leo katika sherehe za kuapishwa kwake katika Uwanja wa Amaan Studium
Mjini Unguja .
Picha na Ikulu.

















No comments:
Post a Comment