Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Monday, December 28, 2015

MAJLIWA AWASILI KIGOMA KWA ZIARA YA SIKU MBILI


kig3
Waziri Muu, Kassim Majliwa akiwapungia wananchi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya siku mbili mkoani humo Desemba 28, 2015. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Issa Machibya
kig1
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akisalikiana na Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Issa Machibya baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kigoma kwa ziara ya siku mbili mkoani humo Desemba 28, 2015. Kushoto ni Mwenye kiyi wa CCM wa mkoa wa Kigoma, Walid Kabourou. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment