Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Thursday, June 11, 2015

WAZIRI WA FEDHA AWASILISHA BUNGENI BAJETI KWA MWAKA 2015/16


Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (Mb) akionyesha

Begi la Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16 wakati

anawasili katika Viwanja vya Bunge, Mjini Dodoma leo.



Waziri wa Fedha, Mhe. Saada Salum Mkuya (MB) akiwasilisha bungeni

Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2015/16, Mjini Dodoma leo.

No comments:

Post a Comment