Mhe. Dkt Pindi Chana (Mb.) akiwa na Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Rolya, wakati wa Ufunguzi wa Semina kuhusu Masuala ya Ukeketaji na kudumisha Amani, Rolya Mara
Mhe. Dkt Pindi Chana (Mb.) akiwa na viongozi wa Serikali ya Mkoa wa Mara na Wilaya ya Rolya, wakati wa Ufunguzi wa Semina kuhusu Masuala ya Ukeketaji na kudumisha Amani, Rolya Mara
Mhe. Dkt Pindi Chana akiwa katika picha ya Pamoja na Watumishi wa Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Buhare, Musoma
MheshimiwaDkt.PindiChana
(Mb.) NaibuWaziriwaMaendeleoyaJamii,
Jinsia na Watoto alifunguarasmi seminamaalumkuhusumasualayakukomeshavitendovyaUkatilinakudumishaAmaniMkoani Mara. Seminahiyoiliyoandaliwanakanisa la Anglikana Tanzania DayosisiyaRorya ,Kanisakuu Mt. Petro Kowak, kata yaNyathorogo.
Jinsia na Watoto alifunguarasmi seminamaalumkuhusumasualayakukomeshavitendovyaUkatilinakudumishaAmaniMkoani Mara. Seminahiyoiliyoandaliwanakanisa la Anglikana Tanzania DayosisiyaRorya ,Kanisakuu Mt. Petro Kowak, kata yaNyathorogo.
WakatiwaufunguziwaSeminahiyoMheshimiwaNaibuWazirialiwasihiwadaumbalimbaliwamaendeleoyaJinsiakutekelezakwavitendokauliMbiuSikuyaMtotowa Kike Duniani, inayosema "MaishaYangu,HakiYangu,Piga Vita NdoazaUtotoni"
AlielezakuwaSuala
la ndoazautotoninaukeketajilinatiadosari
kubwakatikaharakatizakumkomboamtotowa kike kwa vile taifa
linahitaji mchango wakilamwananchi ili kufikia malengo yake ya
kujiletea maendeleo sambamba na utekelezaji wa Malengo ya Mpango wa
Taifa wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini( MKUKUTA), Dira ya
Maendeleo yaTaifa 2025 na Malengo ya Milenia, hivyo ndoa za utotoni
na ukeketaji zinapaswa kupigwa vita kwanguvu zote na jamii yote.
kubwakatikaharakatizakumkomboamtotowa kike kwa vile taifa
linahitaji mchango wakilamwananchi ili kufikia malengo yake ya
kujiletea maendeleo sambamba na utekelezaji wa Malengo ya Mpango wa
Taifa wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini( MKUKUTA), Dira ya
Maendeleo yaTaifa 2025 na Malengo ya Milenia, hivyo ndoa za utotoni
na ukeketaji zinapaswa kupigwa vita kwanguvu zote na jamii yote.
Aidha,
akiwa Mkoani Mara, Mheshimiwa Dkt.Pindi Chana (Mb.)alitembelea Chuo cha
MaendeleoyaJamii Buhare, Musoma.
No comments:
Post a Comment