Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Thursday, May 5, 2016

MUFTI,AFUNGUA SEMINA ELEKEZI YA VIONGOZI WA BAKWATA

Shekhe Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar bin Zuberi akizungumza viongozi wakati wa ufunguzi wa semina elekezi ya viongozi wa Bakwata katika ukumbi wa Karimjee leo jijini Dar es Salaam.
Shekhe wa Mkoa s Dar es Salaam,Alhaji Mussa Salum akitoa neno wakati wa kumkaribisha , Shekhe Mkuu wa Tanzania ,Mufti Abbakari Ally Bin Zuberi katika semina elekezi ya viongozi wa Bakwata iliyofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya viongozi wa Bakwata wakimskiliza Shekhe Mkuu wa Tanzania , Mufti Abbakari Ally Bin Zuberi (hayupo pichani) wakati wa semina elekezi ya viongozi wa Bakwata iliyofanyika katika ukumbi wa Karimjee ,jijini Dar es Salaam.(picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii)

No comments:

Post a Comment