MKUU WA MKOA WA NJOMBE DKT REHEMA NCHIMBI AKIZUNGUMZA HII LEO OFISINI KWAKE JUU YA KIFO CHA MKUU WA WILAYA YA NJOMBE MAREHEMU SARAH DUMBA
Askofu Wa Kanisa La Kiinjili La Kiluthel Tanzania KKKT Diosisi Ya Njombe Japhet Mengele Leo Anatarajia Kuongoza Ibada Ya Kuuaga Mwili Wa Aliyekuwa Mkuu Wa Wilaya Ya Njombe Sarah Dumba Ambaye Amefariki Ghafra Mnamo Mach 21 Akiwa Katika Hospitali Ya Kibena Na Mwili Wake Kupelekwa Katika Hospitali Ya Ilembula Kwaajili Ya Kuhifadhiwa.
Kwa Mujibu Wa Taarifa Iliyotolewa Na Richard Moshi Kwa Niaba Ya Katibu Tawala Mkoa Wa Njombe Jackson Saitabahu Imeeleza Kuwa Mwili Wa Marehemu Sarah Dumba Unatarajia Kusafirishwa Kutoka Katika Hospitali Ya Ilembula Hadi Nyumbani Alikokuwa Anaishi Marehemu Ikulu Ndogo Kuanzia Majira Ya Saa Nne Hadi Saa Tano Na Dakika Hamsini.
Bwana Moshi Amesema Baada Ya Mwili Huo Kuwasili Nyumbani Mchangaji Ataongoza Sara Fupi Kisha Washiriki Watapata Chakula Cha Mchana Na Baada Ya Hapo Mwili Huo Utapelekwa Katika Kanisa La KKKT Diyosisi Ya Kusini Kwaajili Ya Ibada Ya Kuuaga Mwili Wa Marehemu.
Akizungumza Ofisini Kwake Mkuu Wa Mkoa Wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi Amesema Marehemu Sarah Philip Dumba Enzi Za Uhai Wake Alikuwa Mwanafamilia Wa Familia Nyingi Nakwamba Machi 21 Alikwenda Kazini Na Hakukuwa na Taarifa Zozote Za Kuumwa Kwake Ambapo Baada Ya Kufika Nyumbani Kwake Na Kula Chakula Muda Mfupi Alianza Kutapika Na Kulalamika Kukosa Hewa.
Kwa Upande Wao Viongozi Wa Dini Mjini Njombe Wakiongozwa Na Mchungaji Wa Kanisa La TAG Melinze Njombe Mch.Cefania Tweve Wameelezea Namna Walivyoshirikiana Na Marehemu Mkuu Wa Wilaya Ya Njombe Sarah Dumba Kwamba Alihimiza Utekelezaji Wa Maendeleo Pamoja Na Kuwaunganisha Wachungaji Wote Pasipo Kujali Kanisa Gani.
Baadhi Ya Wananchi Na Viongozi Wa Siasa Wamesema Marehemu Mkuu Wa Wilaya Ya Njombe Sarah Dumba Alikuwa Ni Kiongozi Ambaye Ni Mchapa Kazi Na Aliyependa Kuzungumza Na Kila Mmoja Huku Wakisema Kifo Cha Sarah Dumba Kimeacha Pengo Kubwa Ambalo Halitazibika.
Rais Dkt. John Magufuli Amemtumia Salam za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Rehema Nchimbi Kufuatia Kifo cha Ghafla cha Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe Sara Dumba Kilichotokea Machi 21 , 2016 Katika Hospitali ya Mkoa Huo (Kibena) Majira ya Saa Moja Usiku.
Mungu Alitoa na Mungu Ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe, Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Ma Hali Pema Peponi , Amen
Kwa Mujibu Wa Taarifa Iliyotolewa Na Richard Moshi Kwa Niaba Ya Katibu Tawala Mkoa Wa Njombe Jackson Saitabahu Imeeleza Kuwa Mwili Wa Marehemu Sarah Dumba Unatarajia Kusafirishwa Kutoka Katika Hospitali Ya Ilembula Hadi Nyumbani Alikokuwa Anaishi Marehemu Ikulu Ndogo Kuanzia Majira Ya Saa Nne Hadi Saa Tano Na Dakika Hamsini.
Bwana Moshi Amesema Baada Ya Mwili Huo Kuwasili Nyumbani Mchangaji Ataongoza Sara Fupi Kisha Washiriki Watapata Chakula Cha Mchana Na Baada Ya Hapo Mwili Huo Utapelekwa Katika Kanisa La KKKT Diyosisi Ya Kusini Kwaajili Ya Ibada Ya Kuuaga Mwili Wa Marehemu.
Akizungumza Ofisini Kwake Mkuu Wa Mkoa Wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi Amesema Marehemu Sarah Philip Dumba Enzi Za Uhai Wake Alikuwa Mwanafamilia Wa Familia Nyingi Nakwamba Machi 21 Alikwenda Kazini Na Hakukuwa na Taarifa Zozote Za Kuumwa Kwake Ambapo Baada Ya Kufika Nyumbani Kwake Na Kula Chakula Muda Mfupi Alianza Kutapika Na Kulalamika Kukosa Hewa.
Kwa Upande Wao Viongozi Wa Dini Mjini Njombe Wakiongozwa Na Mchungaji Wa Kanisa La TAG Melinze Njombe Mch.Cefania Tweve Wameelezea Namna Walivyoshirikiana Na Marehemu Mkuu Wa Wilaya Ya Njombe Sarah Dumba Kwamba Alihimiza Utekelezaji Wa Maendeleo Pamoja Na Kuwaunganisha Wachungaji Wote Pasipo Kujali Kanisa Gani.
Baadhi Ya Wananchi Na Viongozi Wa Siasa Wamesema Marehemu Mkuu Wa Wilaya Ya Njombe Sarah Dumba Alikuwa Ni Kiongozi Ambaye Ni Mchapa Kazi Na Aliyependa Kuzungumza Na Kila Mmoja Huku Wakisema Kifo Cha Sarah Dumba Kimeacha Pengo Kubwa Ambalo Halitazibika.
Rais Dkt. John Magufuli Amemtumia Salam za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dkt. Rehema Nchimbi Kufuatia Kifo cha Ghafla cha Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe Sara Dumba Kilichotokea Machi 21 , 2016 Katika Hospitali ya Mkoa Huo (Kibena) Majira ya Saa Moja Usiku.
Mungu Alitoa na Mungu Ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe, Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Ma Hali Pema Peponi , Amen
No comments:
Post a Comment