Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Friday, August 7, 2015

HAFLA YA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUPAMBANA NA UGONJWA WA TEZI DUME

by SOLO MAZALLA on AUGUST 7, 2015 

 2
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid akitoa hotuba yake juzi usiku wakati wa hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kupambana  na ugonjwa wa tezi dume iliyofanhyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dares Salaam.
Picha zote na Magreth Kinabo- Maelezo
1
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Grace  Magembe – Mugisha akiwakilisha mchango wa Sh. milioni 10,800,000/=ambazo ni mchango wa hospitali za mkoa huo pamoja na halimashauri tatu   kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa tezi dume.
3
Meneja wa Utafiti kutoka Benki Kuu ya Tanzania, Johnson Nyella akiwakilisha mchango wa  Sh. milioni 10 ambazo ni mchango wa hospitali za mkoa huo pamoja na halimashauri tatu   kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa tezi dume.
4
Katibu Mtendaji wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo  (WAMA), Daudi Nassib  akiwakilisha mchango wa Sh. milioni tano ambazo ni mchango wa hospitali za mkoa huo pamoja na halimashauri tatu   kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa tezi dume.
6
Baadhi wa wadau wakiwa katika hafla ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kupambana  na ugonjwa wa tezi dume.
7
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashid akitangaza kiwango cha fedha kilichopatikana.
8
Picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment