Pages

CONTACT

0757092504/0678321772

Saturday, February 21, 2015

CHUO CHA MAENDELEO YA UTALII ZANZIBAR CHAFANYA MAHAFALI YAKE YA




Mgeni Rasmi katika Mahafali ya Sita ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya akitoa hotuba kwa wahitimu hawapo pichani ambapo mewataka wajiajiri wenyewe badala ya kutegemea Serikali.



Baadhi ya Wahitimu wa Fani ya Upishi wakiwa wanamsikiliza Mgeni Rasmi Waziri wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya hayupo pichani wakati wa sherehe ya Mahafali ya Sita ya Chuoni hapo.

Mwanafunzi Bora Chuoni hapo wa Fani ya Mapokezi ya Wageni “Front Office”Said Shaame Khamis akipokea Zawadi kutoka kwa Mgeni Rasmi Waziri wa fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Saada Mkuya katika Mahafali hayo Yaliyofanyika Maruhubi mjini Zanzibar.


No comments:

Post a Comment