Kikosi cha Zima Moto na Uokoaji Mkoa wa Njombe Kimepongezwa Kwa Kuwahi Kufika Eneo la Tukio na Kufanikisha Kuzima Moto Huo
Wanafunzi Wakihamisha Baadhi ya Vitu Vilivyookolewa Katika Bweni Hilo
Kiongozi wa Bweni Hilo Akizungumzia Jinsi Moto Ulivyotokea
Katika Hali
Isiyo ya Kawaida Moto Mkubwa Umeunguza Bweni la Wanafunzi Katika Shule
Ya Sekondari Njombe [NJOSS] na Kuteketeza Vitu Mbalimbali Vya Wanafunzi
Hao Jioni ya Leo.
Tukio Hilo Limetokea Majira ya Saa Kumi na Mbili Jioni Ambapo Vitu Mbalimbali Ambavyo ni Vifaa Vya Masomo Kwa Wanafunzi Hao Vimeteketea Kwa Moto Huo.
Wakizungumza na mtandao huu Katika Eneo la Tukio Baadhi yha Wanafunzi wa Shule Hiyo Wamesema Bado Hawajatambua Chanzo cha Moto Huo Japo Kwa
Taarifa za Awali Zinaeleza Kuwa ni Shoti ya Umeme.
Akizungumzia Tukio Hilo Kiongozi wa Bweni Katika Shule Hiyo ya Wavulana Amesema Kuwa Moto Huo Umetokea Wakati Wanafunzi Wakiwa Ukumbini Kuangali Mpira Kwenye Luninga.
Akizungumzia Tukio Hilo Diwani wa Kata ya Mjimwema Bwana Jimy Ngumbuke
Amesema Kuwa Pamoja na Kutokea Kwa Athari Kubwa Kwa Wanafunzi Hao
Lakini Tukio Hilo Limetokea Majira ya Saa Kumi na Mbili Jioni Ambapo Vitu Mbalimbali Ambavyo ni Vifaa Vya Masomo Kwa Wanafunzi Hao Vimeteketea Kwa Moto Huo.
Wakizungumza na mtandao huu Katika Eneo la Tukio Baadhi yha Wanafunzi wa Shule Hiyo Wamesema Bado Hawajatambua Chanzo cha Moto Huo Japo Kwa
Taarifa za Awali Zinaeleza Kuwa ni Shoti ya Umeme.
Akizungumzia Tukio Hilo Kiongozi wa Bweni Katika Shule Hiyo ya Wavulana Amesema Kuwa Moto Huo Umetokea Wakati Wanafunzi Wakiwa Ukumbini Kuangali Mpira Kwenye Luninga.
Akizungumzia Tukio Hilo Diwani wa Kata ya Mjimwema Bwana Jimy Ngumbuke
Amesema Kuwa Pamoja na Kutokea Kwa Athari Kubwa Kwa Wanafunzi Hao
Hakuna Mwanafunzi Aliyejeruhiwa Wala Kupoteza Maisha.
Bwana Ngumbuke Pia Amepongeza Kikosi cha Zima Moto na Uokoaji Mkoa wa
Njombe Kwa Kuwahi Kufika Katika Eneo la Tukio na Kufanikiwa Kuzima Moto Huo
Licha ya Kuunguza Baadhi ya Mali za Wanafunzi.
Bado Thamani Halisi ya Hasara Iliyotokea Kufuatia Kutokea Kwa Moto Huo Huku
Serikali Ikiahidi Kuendelea Kutoa Taarifa Zaidi ya Hali ya Tukio Hilo.
No comments:
Post a Comment